ARAFAT ALLY HAJI

Mwananchi wa kawaida wa Shaurimoyo, Zanzibar,hii ndio Mitaa yangu, nyumbani kwangu na ni sehemu ambapo Moyo wangu umependezwa napo.Unaweza kunitoa Nje ya Shaurimoyo ila hauwezi kuitoa Shaurimoyo ndani yangu.

"Nawakilisha Jimbo la Shaurimoyo kwa uadilifu na dhamira thabiti."

“Maendeleo ya leo,
Kwa kesho”
banner2-right-img
Shauri Moyo Mpya:

VIPAUMBELE VYANGU

Katika kuendeleza Jimbo letu la Shaurimoyo na kuinua ustawi wa wananchi wake, tumeweka vipaumbele vifuatavyo
mission-img2

Elimu na Utawala wa Jimbo

• Kujenga Ofisi za Mbunge wa Jimbo la Shaurimoyo ili kutoa huduma za karibu kwa wananchi, kusikiliza kero zao, na kuratibu utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa ufanisi zaidi.

mission-img3

AFYA

• Kuboresha vituo vya afya vilivyopo ili viweze kutoa huduma bora zikiwemo vipimo vya afya, dawa za kutosha, na watumishi wenye weledi.

mission-img1

Maji Safi na Salama

Kuchimba visima na kuimarisha miundombinu ya mabomba kwa usambazaji wa

mission-img1

Uwezeshaji wa Vijana, Wanawake na Wajasiriamali

Kuwezesha vijana na wanawake kuunda vikundi vya ujasiriamali na kuunganishwa na mikopo nafuu kupitia halmashauri au taasisi za kifedha. • Kutoa mafunzo ya stadi za

mission-img1

Miundombinu

• Kuboresha barabara za mitaa kwa kiwango cha changarawe au lami pale inapowezekana.

mission-img1

Umoja na Siasa Safi

Kujenga mshikamano baina ya wananchi wa itikadi mbalimbali kwa msingi wa heshima, haki na

Mjue Arafat Ally Haji

Kiongozi Kijana mwenye Maono

Nimezaliwa na kukulia Shaurimoyo, nikasoma shule za hapa, na nimejitoa kwa moyo wote kuwatumikia wananchi. Safari yangu ya kazi imepita kwenye benki, bima, usafirishaji, na uongozi wa michezo. Nawakilisha Jimbo la Shaurimoyo kwa uadilifu na dhamira thabiti.

index2-about-right-img
MIRADI

MIRADI MUHIMU

counter-icon1
Kujenga Madarasa Mapya Shauri Moyo
counter-icon2

Kuchimba Visima vya Maji Shaurimoyo Mjini
counter-icon3

Kuwapatia Posho walimu wa Madrasa za Shauri Moyo
counter-icon4

Kuanzisha Mifuko ya kusaidia wanawake
counter-icon4

Kituo cha afya kuboreshwa kwa wodi ya uzazi
HITIMISHO
" Naamini kwa kushirikiana na wananchi wote wa Jimbo la Shaurimoyo, tutaleta mabadiliko ya kweli. Hii ni safari ya matumaini, mshikamano, na maendeleo ya wote. ⸻ #ShaurimoyoKwanza #MaendeleoKwaVitendo #KaziNaUwazi
  • Zanzibar, Shaurimoyo

WATCH, ENGAGE,AND IGNITE
THE FUTURE!